Salaam Maria (Nicholas Azza): Difference between revisions

From ChoralWiki
Jump to navigation Jump to search
(New work page created)
 
Line 16: Line 16:
{{#ExtWeb:}}
{{#ExtWeb:}}
==Original text and translations==
==Original text and translations==
{{Text|Swahili|put text here}}
{{Text|Swahili|SALAAM MARIA
1. Salaam Maria, umejaa neema, Bwana yu nawe Maria.
Umebarikiwa kuliko wanawake, wanawake wote duniani.
Naye Yesu, Bwana wetu, mzawa wa tumbo lako, amebarikiwa sana.
Ewe Maria kwa utiifu wako umeleta wokovu duniani.
Mama Maria utufundishe kuwa watiifu kwa maagizo ya Mungu.
 
2. Maria Mtakatifu, Mama wa Mungu, Mama wa Kanisa.
Utuombee sisi wakosefu, saasa na saa ya kufa kwetu.
Ewe Mama wa Rehema, Ewe Bikira Msafi, uwe shauri na kimbilio letu.
Ewe Maria, moyo wako ulichomwa na kifo cha mwanao.
Sasa Maria tusaidie kuvumilia mateso yetu.
 
Amina.}}


[[Category:Sheet music]]
[[Category:Sheet music]]
[[Category:Modern music]]
[[Category:Modern music]]

Revision as of 21:28, 20 December 2021

Music files

L E G E N D Disclaimer How to download
ICON SOURCE
Icon_pdf.gif Pdf
Icon_snd.gif Midi
Icon_mp3.gif Mp3
MusicXML.png MusicXML
File details.gif File details
Question.gif Help
  • (Posted 2021-12-20)  CPDL #67182:       
Editor: Nicholas Azza (submitted 2021-12-20).   Score information: A4, 4 pages, 205 kB   Copyright: Personal
Edition notes:

General Information

Title: Salaam Maria
Composer: Nicholas Azza
Lyricist: Nicholas Azza
Number of voices: 4vv   Voicing: SATB
Genre: SacredHymn

Language: Swahili
Instruments: A cappella

First published: 2021
Description: This is the prayer 'Hail Mary' in Swahili.

External websites:

Original text and translations

Swahili.png Swahili text

SALAAM MARIA
1. Salaam Maria, umejaa neema, Bwana yu nawe Maria.
Umebarikiwa kuliko wanawake, wanawake wote duniani.
Naye Yesu, Bwana wetu, mzawa wa tumbo lako, amebarikiwa sana.
Ewe Maria kwa utiifu wako umeleta wokovu duniani.
Mama Maria utufundishe kuwa watiifu kwa maagizo ya Mungu.

2. Maria Mtakatifu, Mama wa Mungu, Mama wa Kanisa.
Utuombee sisi wakosefu, saasa na saa ya kufa kwetu.
Ewe Mama wa Rehema, Ewe Bikira Msafi, uwe shauri na kimbilio letu.
Ewe Maria, moyo wako ulichomwa na kifo cha mwanao.
Sasa Maria tusaidie kuvumilia mateso yetu.

Amina.